Kenya: Mikutano na Mafungo Nairobi mwaka 2011
Mji wa furaha 2011
Pamoja tunataka kwenda kwanye vyanzo vya imani kupitia sala, kushirikishana biblia, maisha ya pamoja, tafakari binafsi na ukimya.
Tutauliza: tunawezaje kuyafanya maisha yetu “safari ya imani”, kutafuta kuunganika na Mungu and kuchangia katika mapatano katika yumuiya zetu.Pamoja tunataka kwenda kwenye vyanzo vya imani kupitia sala, kushirikishana biblia, maisha ya pamoja, (...)
24 February 2011