Leo hii, jumuiya ya Taizé inaundwa na zaidi ya maruda mia, Wakatoliki na kutoka madhehebu mbalimbali ya Kiprotestanti, wakitoka karibu nchi therasini. Kwa uwepo wake, jumuya hii ni “fumbo la jumuiya” ambayo inataka maisha yake yawe ihsara ya maridhiano kati ya wakristu waliogawanyika. Mabruda wa jumuiya wanaishi kutegemea kazi za mikono yao. Hawapokei misaada. Kwa namna hiyohiyo, hawapokei (...)
24 February 2011
Mambo yote yalianza mwaka 1940, akiwa na umri wa miaka ishirini na tano, Bruda Roger aliondoka Switzerland, nchi aliyozaliwa, na kwenda kuishi Ufaransa, ambapo mama yake alitokea. Kwa miaka mingi alikuwa mgonjwa, akisumbuliwa na maradhi wa kifua kikuu. Wakati wote wa kipindi hicho kirefu cha ugonjwa, wito wa kuunda jumuiya ukua ndani mwake. Wakati vita kuu ya pili vya dunia ilipoanza, alipata msukumo kuwa, bila kupoteza wakati aanze kusaidia watu waliokua wakipitia kipind hicho cha (...)
Mwanzo wa yote ni mkutano Wakati wa mkutano wa Ulaya hapo Zagreb – moja kati ya hatua mpya zilizofikiwa katika hija ya matumaini duniani – familia za Croatia waliwakaribisha nyumbani kwao baadhi ya vijana wa Kiserbia ambao walikuja kwa siku tano za sala na kushirikishana; ikiwa ni muda mfupi sana baada ya kuisha kwa vita iliyowatenganisha watu hawa. Mara baada ya mkutano wa Lisbon, mmoja wa vijana aliuelezea kama “sherehe ya mataifa” iliyofanyika Desemba 31, “kengele ya usiku wa manane (...)
22 October 2007