Imetayarishwa kwa miezi na parokia,familia za jijini na mazingira yake,mkutano wa vijana wa amerika ya kusini ulikuwa umeandaliwa huko cochabamba, Bolivia, kutokea Oktoba 10-14, 2007. Iliwaleta pamoja washiriki 7000 kutoka maeneo mbalimabli ya Bolivia, kutoka nchi zote za amerika ya kusini na kutoka nchi za ulaya. Hii “Barua kutoka Cochabamba” ya mwaka 2008 ilisambazwa kwa mara ya kwanza wakati wa mkutano wa ulaya huko Geneva mwishoni mwa Desemba 2007.
Upatanisho ni, kichocheo
Huko Bolivia sisi pamoja na vijana kutoka nchi zote za america ya kusini,tumekuwa tukijiuliza wenyewe: Ni njia zipi za matumaini tunaweza kuzifungua leo? Watu wa Bolivia, pamoja na ukubwa mno wa jamii na wingi wa makabila, wanajaribu kuacha nyuma migogoro na kuelekea kwa ukubwa kwenye haki na amani.
Sehemu nyingi za dunia, kwa sasa migogoro inaibuka kutokana na vidonda vilivyotunga usaha vya kihistoria. Wapi uponyaji unapatikana wakti pale kunahisia za kutokuwa na nguvu na kutokuwa na haki vinaota mizizi?
Mkutano wa vijana huko Cochabamba umeonesha tofauti, badala ya kuongoza kwenye matabaka yenye kusikika kila mara, umebeba ndani yake ahdi ya maafikiano yanayositawi na furaha. [1]
Huko Bolivia, tumegundua kuna waamini wenye moyo wa kufanya wanaloamini kwa kuonesha namna wanavyoyaishi maandiko matakatifu katika kuwa na moyo wa upatanisho.
Katika chemichemi ya upatanisho
Tumetumia nguvu zitakiwazo kw akupigania moyo wa upatanisho ushirika mtakatifu wa mtu binafsi na mungu anayeishi.Bila ya maisha ya ndani, Hatuwezi kuelekea kwenye manuio yetu. Kwa mungu tunapata furaha; Tunapata matumaini ya maisha ya kudumu.
Si mungu mwenye amekuja kwetu sisi? Kwa kuja Yesu, Mungu mwenye amejifanya mtu. Wakati imebakia nje ya uwezo wa kila kitu tunakielewa,mungu amejidhihilisha karibu sana kwa kila moja.
Nje ya upendo, Mungu ametaka kushiriki upo wetu. Amekuwa mtu. Zaidi: kwa kutoa maisha yake juu ya msalaba, Yesu amechagua sehemu yake ya mwisho. [2] Cha kuvutia kutoka kwake ndicho kinatutenganisha sisi kutoka kwa mungu, ana sadiki uumbaji wetu na uanadamu wote. [3] Ametupatia uhai wake kweut sisi. [4] Kwa namna hiyo uumbaji wote ulianza. [5]
Mawasiliano haya pamoja na mungu yanakuwa ya kweli kwetu kwa sala: Kwa Roho mtakatifu,Mungu amekuja kuishi ndani mwetu. Kwa maneno yake na kwa sakramenti, Kristu amejitoa kwetu sisi. Kwa malipo, tujitoe kwake. [6]
Kwa namna hii kristo haja leta kichocheo juu ya dunia, kichocheo hicho tayari kipo ndani yetu?
Kueneza urafiki wetu utawahusisha wote
Hatuwezi kuzuia kichocheo cha upatanisho ndani yake. Inatoa mwanga katika njia kwa wapatanishi wa karibu na mbali. [7]
Kama tutaelewa kwa namna gani mungu anafanya kwa ajili yetu, mahusiano ya maafikiano yangebadilika. Tungekuwa na shauku ya ushirika mtakatifu kwa wengine, kubadilishana maisha ambayo tunatoa na kupokea.
Injili inatualika kuwaelekea wenzetu, bila ahadi yoyote kutoka kwao.
Kwenye hali nyingine,hasa kwenye mahusiano yaliyovunjika,upatanisho unaweza kuonekana hauwezakaniki. Lazima tutambue hali ya kuhitaji upatanisho tayari ni mwanzo wa mapatanisho. Yesu mwenye amejichulia kam hawezi kuongoza chochote na tunaweza kuponywa wote wahitaji. Hicho kinatutayarisha kutumia vizuri nafasi inayoibuka na kuchukua hatua, licha ya udogo lakini tunaelekea kwenye utulivu.
Upatanisho unaweza kugeuza jamii zetu kwa undani. Roho ya kristu mfufuka imebadilisha sura dunia. Acha turuhusu haya mabadiliko ya ufufuko yatupeleke mbele! Tusikate tamaa kutokana na magumu tunayoyakabili. Tusije tukasahau kuwa tunaweza kuanza na kidogo. [8]
Ushirika mtakatifu wa kanisa unatusaidia; ni sehemu ya urafiki wa kila moja. [9] “Kwetu kanisa ni kam Mama anayesikiliza watoto wake. Anawakaribisha; anawafariji.” [10] Haya maneno ya vijana wa amerika ya kusini yametupa changamoto sisi: Je tunatafuta njia y akuruhusu upendo wa kimungu kuonekan kwetu?
Katika hali ya machafuko, je tutatafuta njia ya kusikilizana kwa kila moja wetu? Kwa hiyo mifarakano mbalimbali itakuwa na machungu machache. [11] Acha tupiganie tuwe karibu na wengine.
Je, tutatafuta njia ya kuhakikisha mgawanyo sawa wa maliasili? Acha tuweke hitaji la kufikiria tena kuhusu mtindo katika mwelekeo mkubwa wa unyenyekevu, umoja pamoja na ufukara na kuongeza kuthamini uumbaji.
Je, tutakuwa karibu na masikini kupindukia kiliko sisi? Kwa kushiriki nao, mabadilishano ya kimaisha yanatoa: Wanatuongoza katika ukarimu na kutuweka pamoja nao. Zaidi ufukara unatusaidia kukubali. Kwa kufanya haya tutachangia katika utu wa kila binadamu .
Je, tutaenda kwenye hali ya kusamehana? Je, kuna njia nyingine za kupinga mlolongo wa udhalilishaji unaoendelea? [12] Si kitu cha kusahau yaliyopita, au kuwa wapofu katika hali ya sasa ya kutokuwa na haki. Injili inatuhitaji kwa uwezo wetu kuyakumbuka majereha,kwa kusameheana na kutokuwa na matarajio yanayoibuka katika kupata chochote kama malipo. Kwa namna hii tumetafuta uhuru wa watoto wa mungu.
Ndio, Tunahitajika kupigania pamoja n amoyo wa upatanisho, kwa kuwa watafutaji wenye shauku na ushirika mtakatifu, tuweze kueneza urafiki wetu utakaowahusisha wote.